-
Walimpata Masihi!Mnara wa Mlinzi—2011 | Agosti 15
-
-
Na andiko la Zaburi 34:20 linasema: “[Mungu] anailinda mifupa yote ya mtu huyo; hakuna hata mmoja uliovunjwa.” Akithibitisha maneno hayo, mtume Yohana aliandika hivi: “Mmoja wa hao askari-jeshi akauchoma ubavu wake [wa Yesu] kwa mkuki, na mara moja damu na maji vikatoka. Na [Yohana] ambaye ameona hilo ametoa ushahidi, nao ushahidi wake ni wa kweli . . . Mambo haya yalitendeka kusudi andiko litimizwe: ‘Hakuna mfupa wake hata mmoja utakaovunjwa.’
-