-
Mambo Makuu Katika Kitabu cha YohanaMnara wa Mlinzi—2008 | Aprili 15
-
-
6:53—Ni nini maana ya mtu kuwa na “uzima ndani yake mwenyewe”?
-
-
Mambo Makuu Katika Kitabu cha YohanaMnara wa Mlinzi—2008 | Aprili 15
-
-
Kwa upande wa wafuasi wa Yesu, ‘kuwa na uhai ndani yao wenyewe’ kunamaanisha kupata uhai kamili. Wakristo waliotiwa mafuta wanapata uhai huo wanapofufuliwa kuishi mbinguni. Waaminifu wenye tumaini la kuishi duniani watapata uhai kamili baada ya kupita jaribu la mwisho ambalo litatukia punde tu baada ya Utawala wa Miaka Elfu wa Kristo.—1 Kor. 15:52, 53; Ufu. 20:5, 7-10.
-