Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ‘Kaeni Katika Neno Langu’
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Machi 1
    • “Mkikaa katika neno langu, ninyi kwa kweli ni wanafunzi wangu, nanyi mtaijua kweli, nayo kweli itawaweka ninyi huru.”—YOHANA 8:31, 32.

  • ‘Kaeni Katika Neno Langu’
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Machi 1
    • “Mkikaa katika neno langu, ninyi kwa kweli ni wanafunzi wangu, nanyi mtaijua kweli, nayo kweli itawaweka ninyi huru.”—YOHANA 8:31, 32.

  • ‘Kaeni Katika Neno Langu’
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Machi 1
    • Inamaanisha Nini? “Neno” la Yesu linamaanisha mafundisho yake, ambayo chanzo chake ni cha juu zaidi. Yesu alisema: “Baba mwenyewe aliyenituma amenipa amri kuhusu jambo la kutangaza na la kusema.” (Yohana 12:49) Alipokuwa akisali kwa Baba yake wa mbinguni, Yehova Mungu, Yesu alisema: “Neno lako ni kweli.” Alinukuu Neno la Mungu mara nyingi ili kuunga mkono mafundisho yake. (Yohana 17:17; Mathayo 4:4, 7, 10)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki