-
Jifunze Jinsi ya Kukesha Kutoka kwa Mitume wa YesuMnara wa Mlinzi—2012 | Januari 15
-
-
Mstari wa 9 unatuambia mambo yaliyotukia baadaye: “Usiku maono yakamtokea Paulo: mwanamume fulani Mmakedonia alikuwa amesimama akimsihi na kusema: ‘Vuka uingie Makedonia utusaidie.’” Hatimaye, Paulo alijua ni wapi wangehubiri. Bila kukawia, wanaume hao walisafiri kwa meli kwenda Makedonia.
-