-
“Mimi Nakata Rufani kwa Kaisari!”Mnara wa Mlinzi—2001 | Desemba 15
-
-
Alipowasili Roma, Paulo aliwaita Wayahudi mashuhuri ili awahubirie na pia ajue walichofahamu kumhusu. Kwa kufanya hivyo huenda angejua nia ya washtaki wake. Lilikuwa jambo la kawaida kwa watu wenye mamlaka huko Yerusalemu kuwaomba Wayahudi Waroma wawasaidie kuamua kesi, lakini Paulo alipata habari kwamba hawakuwa wamepewa maagizo yoyote kumhusu.
-