Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Wakeni Roho”
    Mnara wa Mlinzi—2009 | Oktoba 15
    • 4, 5. Wazee Wakristo wanapaswa kutumia zawadi zao jinsi gani?

      4 Soma Waroma 12:6-

  • “Wakeni Roho”
    Mnara wa Mlinzi—2009 | Oktoba 15
    • 5 Paulo anasema kwamba waangalizi wanapaswa kuonyesha bidii hiyohiyo wakati wanapotumikia wakiwa walimu na wanapotimiza “huduma” yao. Inaonekana kwamba mistari mingine katika sura hiyo inaonyesha kwamba Paulo alikuwa akizungumza kuhusu “huduma” inayofanywa ndani ya kutaniko, au katika ule “mwili mmoja.” (Rom. 12:4, 5) Huduma hiyo ni sawa na ile inayotajwa katika Matendo 6:4, wakati ambapo mitume walitangaza hivi: “Tutajitoa kwa sala na kwa huduma ya neno.” Huduma hiyo inatia ndani nini? Wazee Wakristo wanatumia zawadi zao kuwajenga washiriki wa kutaniko. Wanaonyesha kwamba ‘wako katika huduma hiyo’ wakati wanapotoa kwa bidii mwongozo na maagizo kwa kutaniko kutoka katika Neno la Mungu kwa kusali na kujifunza, kufanya utafiti, kufundisha, na kulichunga kutaniko.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki