Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Wakeni Roho”
    Mnara wa Mlinzi—2009 | Oktoba 15
    • 9. Kwa nini Paulo anawalinganisha Wakristo waliozaliwa kwa roho na viungo vya mwili?

      9 Soma Waroma 12:4, 5, 9, 10.

  • “Wakeni Roho”
    Mnara wa Mlinzi—2009 | Oktoba 15
    • 11. Umoja wetu unategemea nini, na Paulo alitoa shauri gani lingine?

      11 Umoja huo unategemea upendo, ambao ni “kifungo kikamilifu cha muungano.” (Kol. 3:14) Kwenye Waroma sura ya 12, Paulo anakazia hilo anaposema kwamba upendo wetu unapaswa kuwa “bila unafiki” na kwamba “katika upendo wa kindugu” tunapaswa kuwa na “upendo mwororo kwa mtu na mwenzake.” Hilo linatufanya tuheshimiane. Mtume Paulo anasema hivi: “Katika kuonyeshana heshima iweni wa kwanza.” Bila shaka, hatupaswi kufikiri kwamba upendo ni hisia tu ya moyoni. Tunapaswa kufanya yote tunayoweza ili kudumisha usafi wa kutaniko. Anapotoa shauri lake kuhusu upendo, Paulo anaongezea hivi: “Chukieni maovu, shikamaneni na mema.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki