-
“Iweni Wenye Kufanya Amani na Watu Wote”Mnara wa Mlinzi—2009 | Oktoba 15
-
-
Kuushinda Uovu kwa Wema
13, 14. (a) Kwa nini hatushangai tunapopata upinzani? (b) Tunaweza kuwabariki jinsi gani wale wanaotutesa?
13 Soma Waroma 12:14, 21.
-
-
“Iweni Wenye Kufanya Amani na Watu Wote”Mnara wa Mlinzi—2009 | Oktoba 15
-
-
15. Ni njia gani bora ya kuushinda uovu kwa wema?
15 Hivyo basi, Mkristo wa kweli anatii maneno ya mstari wa mwisho wa Waroma sura ya 12: “Usiache ushindwe na uovu, bali endelea kuushinda uovu kwa wema.” Chanzo cha uovu wote ni Shetani Ibilisi. (Yoh. 8:44; 1 Yoh. 5:19) Katika ufunuo ambao mtume Yohana alipewa, Yesu alifunua kwamba ndugu zake watiwa-mafuta ‘wamemshinda [Shetani] kwa sababu ya damu ya Mwana-Kondoo na kwa sababu ya neno la kutoa kwao ushahidi.’ (Ufu. 12:11) Hilo linaonyesha kwamba njia bora ya kumshinda Shetani na uvutano wake mwovu juu ya mfumo wa sasa wa mambo ni kwa kufanya mema kupitia kazi yetu ya kutoa ushahidi na kuhubiri habari njema ya Ufalme.
-