Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kushangilia Katika Tumaini Letu
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Machi 15
    • Kwa maana uumbaji ulitiishwa chini ya ubatili, si kwa mapenzi yake wenyewe bali kupitia yeye aliyeutiisha hivyo, juu ya msingi wa tumaini kwamba uumbaji wenyewe pia utawekwa huru kutoka katika utumwa wa uharibifu na kuwa na uhuru wenye utukufu wa watoto wa Mungu.”—Rom. 8:14-21.

  • Kushangilia Katika Tumaini Letu
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Machi 15
    • Kwa maana uumbaji ulitiishwa chini ya ubatili, si kwa mapenzi yake wenyewe bali kupitia yeye aliyeutiisha hivyo, juu ya msingi wa tumaini kwamba uumbaji wenyewe pia utawekwa huru kutoka katika utumwa wa uharibifu na kuwa na uhuru wenye utukufu wa watoto wa Mungu.”—Rom. 8:14-21.

  • Kushangilia Katika Tumaini Letu
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Machi 15
    • 11 “Msingi wa tumaini” kwa wanadamu uliwekwa na Yehova alipoahidi kuwakomboa kutoka kwa “yule nyoka wa zamani,” Shetani Ibilisi, kupitia “uzao” ulioahidiwa. (Ufu. 12:9; Mwa. 3:15) Yesu Kristo ndiye sehemu ya msingi ya “uzao” huo. (Gal. 3:16) Kupitia kifo na ufufuo wake, Yesu aliandaa msingi thabiti wa tumaini la wanadamu kuwekwa huru kutoka katika utumwa wa dhambi na kifo. Kutimizwa kwa tumaini hilo kunahusiana na “kufunuliwa kwa wana wa Mungu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki