-
Kungoja kwa “Taraja Lenye Hamu”Mnara wa Mlinzi—1998 | Septemba 15
-
-
Kwa maana viumbe vilitiishwa chini ya ubatili, si kwa mapenzi yavyo vyenyewe bali kupitia yeye aliyevitiisha hivyo, juu ya msingi wa tumaini
-
-
Kungoja kwa “Taraja Lenye Hamu”Mnara wa Mlinzi—1998 | Septemba 15
-
-
—Waroma 8:14-21; 2 Timotheo 2:10-12.
13 Kupitia dhambi ya Adamu, wazao wake wote “[wa]litiishwa chini ya ubatili,” wakizaliwa katika utumwa wa dhambi na kifo. Wameshindwa kujiweka huru kutoka katika utumwa huo. (Zaburi 49:7; Waroma 5:12, 21) Lo, kondoo wengine wana hamu iliyoje ya “[ku]wekwa huru kutoka katika utumwa wa uharibifu”! Lakini kabla ya jambo hilo kutokea, mambo fulani lazima yatukie kulingana na nyakati na majira ya Yehova.
-