Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kungoja kwa “Taraja Lenye Hamu”
    Mnara wa Mlinzi—1998 | Septemba 15
    • kwamba viumbe vyenyewe pia vitawekwa huru kutoka katika utumwa wa uharibifu na kuwa na uhuru wenye utukufu wa watoto wa Mungu.”—Waroma 8:14-21; 2 Timotheo 2:10-12.

      13 Kupitia dhambi ya Adamu, wazao wake wote “[wa]litiishwa chini ya ubatili,” wakizaliwa katika utumwa wa dhambi na kifo. Wameshindwa kujiweka huru kutoka katika utumwa huo. (Zaburi 49:7; Waroma 5:12, 21) Lo, kondoo wengine wana hamu iliyoje ya “[ku]wekwa huru kutoka katika utumwa wa uharibifu”! Lakini kabla ya jambo hilo kutokea, mambo fulani lazima yatukie kulingana na nyakati na majira ya Yehova.

  • Kungoja kwa “Taraja Lenye Hamu”
    Mnara wa Mlinzi—1998 | Septemba 15
    • Kisha, wakati wa Utawala wa Miaka Elfu wa Kristo, ‘watafunuliwa’ tena wakiwa njia ambazo kwazo manufaa za dhabihu ya fidia ya Yesu itatolewa kwa “viumbe” wa kibinadamu. Hilo litatokeza ‘kuwekwa huru kwa wanadamu kutoka katika utumwa wa uharibifu’ na hatimaye kuingia katika “uhuru wenye utukufu wa watoto wa Mungu.” (Waroma 8:21; Ufunuo 20:5; 22:1, 2)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki