-
“Wafu Watafufuliwa”Mnara wa Mlinzi—1998 | Julai 1
-
-
9 Kristo pia alionekana kwa kikundi kikubwa zaidi, “ndugu zaidi ya mia tano.” Kwa kuwa ni katika Galilaya tu alikokuwa na idadi kubwa hivyo ya wafuasi, huenda huo ukawa ni ule wakati ambao umeelezwa kwenye Mathayo 28:16-20, Yesu alipotoa amri ya kufanya wanafunzi. Hao watu wangeweza kutoa ushuhuda wenye nguvu kama nini! Baadhi yao walikuwa bado hai mwaka wa 55 W.K. wakati Paulo alipotunga barua yake ya kwanza kwa Wakorintho. Ingawa hivyo, ona kwamba wale waliokuwa wamekufa walitajwa kuwa “wamelala usingizi katika kifo.” Walikuwa bado hawajafufuliwa ili kupokea thawabu yao ya kimbingu.
-
-
“Wafu Watafufuliwa”Mnara wa Mlinzi—1998 | Julai 1
-
-
Baada ya hilo alionekana kwa zaidi ya ndugu mia tano kwa wakati mmoja, ambao walio wengi kati yao wabaki hadi wakati wa sasa, lakini baadhi yao wamelala usingizi katika kifo.
-