-
“Kifo Kitafanywa Kuwa Si Kitu”Mnara wa Mlinzi—1998 | Julai 1
-
-
Kikiwa ni adui wa mwisho, kifo kitafanywa kuwa si kitu.” (1 Wakorintho 15:25, 26) Naam, alama zote za dhambi na kifo cha Kiadamu zitakuwa zimeondolewa. Basi, kwa sababu ya uhitaji, Mungu atakuwa ameyaacha “makaburi ya ukumbusho” yakiwa tupu kwa kuwafufua wafu.—Yohana 5:28.
-
-
“Kifo Kitafanywa Kuwa Si Kitu”Mnara wa Mlinzi—1998 | Julai 1
-
-
Hata hivyo, wanadamu wenye kufufuliwa bado watakuwa chini ya dhambi ya Kiadamu. Basi, ni lazima iwe kwamba hati-kunjo hizo zitaeleza kikamili maagizo ya kimungu ambayo wote lazima wafuate ili wanufaike kikamili na dhabihu ya Yesu Kristo. Alama ya mwisho ya dhambi ya Kiadamu inapofutwa, “kifo kitafanywa kuwa si kitu” katika maana kamili. Kufikia mwisho wa miaka elfu, Mungu “[ata]kuwa vitu vyote kwa kila mtu.” (1 Wakorintho 15:28) Mwanadamu hatahitaji tena uingiliaji-kati wa Kuhani wa Cheo cha Juu au Mfidi. Wanadamu wote watarudishwa kwenye hali ya ukamilifu ambayo Adamu alifurahia hapo awali.
-