-
Mtumikie Mungu wa UhuruMnara wa Mlinzi—2012 | Julai 15
-
-
“Mashirika mabaya huharibu tabia nzuri.”—1 Kor. 15:33.
-
-
Mtumikie Mungu wa UhuruMnara wa Mlinzi—2012 | Julai 15
-
-
Maandiko hayo yameandikwa kwa njia inayoonyesha kwamba Yehova anajaribu kugusa mioyo yetu. Jinsi gani? Ona kwamba hakuna andiko lolote kati ya maandiko hayo ambalo linaweka sheria, kwa kusema “hupaswi . . .” Badala yake, maandiko hayo yameandikwa kwa njia rahisi inayoonyesha ukweli. Ni kana kwamba Yehova anatuambia hivi: ‘Huu ndio ukweli wa mambo. Utaitikiaje? Ni nini kilicho moyoni mwako?’
13 Mwishowe, kwa sababu maandiko hayo matatu yametolewa yakiwa kweli za msingi, yanatumika hata sasa na yanaweza kutumika katika hali nyingi mbalimbali. Kwa mfano, jiulize maswali kama vile: Ninaweza kuepuka jinsi gani kushirikiana na watu “wanaoficha jinsi walivyo”?
-
-
Mtumikie Mungu wa UhuruMnara wa Mlinzi—2012 | Julai 15
-
-
Ni ‘tabia gani nzuri’ ambazo nitaharibu nikichagua marafiki wabaya? Je, ninaweza kupata marafiki wabaya katika ulimwengu tu? (2 Pet. 2:1-3)
-