-
Kutumia Maandiko VizuriFaidika na Elimu ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
-
-
Mtume Paulo aliwaonya Wakristo wasichafue Neno la Mungu kwa falsafa za wanadamu alipoandika: “Tumeyakataa kabisa mambo ya kichinichini yaliyo ya kuaibikia, si kutembea kwa ujanja, wala tukilighushi neno la Mungu.” Siku hizo, wauzaji wa divai wenye pupa walikuwa wakitia divai maji ili iwe nyingi wapate pesa zaidi. Sisi hatughushi Neno la Mungu kwa kulichanganya na falsafa za wanadamu.
-