Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo Makuu Katika Barua kwa Wagalatia, Waefeso, Wafilipi, na Wakolosai
    Mnara wa Mlinzi—2008 | Agosti 15
    • 6:2—“Sheria ya Kristo” ni nini? Sheria hiyo inahusisha mambo yote ambayo Yesu alifundisha na kuamuru. Inatia ndani hasa amri ya ‘kupendana.’—Yoh. 13:34.

  • Mambo Makuu Katika Barua kwa Wagalatia, Waefeso, Wafilipi, na Wakolosai
    Mnara wa Mlinzi—2008 | Agosti 15
    • 6:1, 2, 5. Wale walio na “sifa za kustahili kiroho” wanaweza kutusaidia kubeba mzigo mzito, kama vile jambo lenye kutaabisha au tatizo zito ambalo limetokea baada ya sisi kujikwaa kwa kufanya kosa bila kujua. Lakini ni lazima sisi wenyewe tujibebee mzigo wa madaraka ya Kikristo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki