Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Wakaaji wa Muda” Katika Ulimwengu Mwovu
    Mnara wa Mlinzi—2011 | Novemba 15
    • tukilingojea tumaini la furaha na kufunuliwa kwenye utukufu kwa Mungu mkuu na kwa Mwokozi wetu, Kristo Yesu,

  • “Wakaaji wa Muda” Katika Ulimwengu Mwovu
    Mnara wa Mlinzi—2011 | Novemba 15
    • Tito 2:11-14

  • “Wakaaji wa Muda” Katika Ulimwengu Mwovu
    Mnara wa Mlinzi—2011 | Novemba 15
    • 17. Kwa nini watiwa-mafuta na waandamani wao hawatajuta kamwe kwamba waliishi kama wakaaji wa muda katika ulimwengu huu mwovu?

      17 Watiwa-mafuta wana “tumaini la furaha” la kutawala pamoja na Kristo huko mbinguni. (Ufu. 5:10) Tumaini la uzima wa milele litakapotimia hapa duniani, kondoo wengine hawatakuwa tena wakaaji wa muda katika ulimwengu mwovu. Watakuwa na nyumba maridadi na vinywaji na vyakula vingi. (Zab. 37:10, 11; Isa. 25:6; 65:21, 22)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki