-
“Wakaaji wa Muda” Katika Ulimwengu MwovuMnara wa Mlinzi—2011 | Novemba 15
-
-
tukilingojea tumaini la furaha na kufunuliwa kwenye utukufu kwa Mungu mkuu na kwa Mwokozi wetu, Kristo Yesu,
-
-
“Wakaaji wa Muda” Katika Ulimwengu MwovuMnara wa Mlinzi—2011 | Novemba 15
-
-
17. Kwa nini watiwa-mafuta na waandamani wao hawatajuta kamwe kwamba waliishi kama wakaaji wa muda katika ulimwengu huu mwovu?
17 Watiwa-mafuta wana “tumaini la furaha” la kutawala pamoja na Kristo huko mbinguni. (Ufu. 5:10) Tumaini la uzima wa milele litakapotimia hapa duniani, kondoo wengine hawatakuwa tena wakaaji wa muda katika ulimwengu mwovu. Watakuwa na nyumba maridadi na vinywaji na vyakula vingi. (Zab. 37:10, 11; Isa. 25:6; 65:21, 22)
-