Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kujitiisha kwa Unyenyekevu Chini ya Wachungaji Wenye Upendo
    Mnara wa Mlinzi—2007 | Aprili 1
    • Akiongozwa na roho ya Mungu, mtume Paulo aliandika hivi: “Wakumbukeni wale ambao wanaongoza katikati yenu, ambao wamelisema neno la Mungu kwenu, nanyi mnapotafakari jinsi mwisho wa mwenendo wao unavyokuwa, igeni imani yao.

  • Kujitiisha kwa Unyenyekevu Chini ya Wachungaji Wenye Upendo
    Mnara wa Mlinzi—2007 | Aprili 1
    • Waebrania 13:7,

  • Kujitiisha kwa Unyenyekevu Chini ya Wachungaji Wenye Upendo
    Mnara wa Mlinzi—2007 | Aprili 1
    • 8. Paulo anatuomba ‘tutafakari’ nini, na tunapaswa ‘kutii’ tukiwa na mtazamo gani?

      8 Ona kwamba Paulo anatuomba ‘tutafakari,’ au kuchunguza kwa uangalifu, mwisho wa mwenendo wa uaminifu wa wazee na kuiga mifano hiyo ya imani.

  • Kujitiisha kwa Unyenyekevu Chini ya Wachungaji Wenye Upendo
    Mnara wa Mlinzi—2007 | Aprili 1
    • 10, 11. Waangalizi “wamelisema neno la Mungu” jinsi gani kwa Wakristo wenzao katika karne ya kwanza na leo?

      10 Katika andiko la Waebrania 13:7, 17 linalotajwa hapo juu, mtume Paulo anatoa sababu nne zinazoonyesha kwa nini tunapaswa kunyenyekea na kuwatii waangalizi Wakristo. Sababu ya kwanza ni kwamba “wamelisema neno la Mungu” kwetu. Kumbuka kwamba Yesu anatoa kwa kutaniko “zawadi katika wanadamu” kwa kusudi la “kuwarekebisha upya watakatifu.” (Waefeso 4:11, 12) Alirekebisha upya fikira na mwenendo wa Wakristo wa karne ya kwanza kupitia wachungaji waaminifu walio chini yake. Wengine wao waliongozwa na roho ya Mungu kuandika barua kwa makutaniko. Aliwatumia waangalizi hao waliowekwa rasmi na roho kuwaongoza na kuwajenga Wakristo wa mapema.—1 Wakorintho 16:15-18; 2 Timotheo 2:2; Tito 1:5.

      11 Leo, Yesu anatuelekeza kupitia “mtumwa mwaminifu na mwenye busara,” anayewakilishwa na Baraza lake Linaloongoza na wazee waliowekwa rasmi. (Mathayo 24:45) Tunatii shauri hili la Paulo kwa kuwa tunamheshimu “mchungaji mkuu,” Yesu Kristo: “Mwatilie maanani wale wanaofanya kazi kwa bidii kati yenu na kuwasimamia ninyi katika Bwana na kuwaonya ninyi.”—1 Petro 5:4; 1 Wathesalonike 5:12; 1 Timotheo 5:17.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki