-
Mambo Makuu Katika Barua ya Yakobo na ya PetroMnara wa Mlinzi—2008 | Novemba 15
-
-
(3) tuwe na mwenendo na utu ‘usio na doa,’ usiochafuliwa na ulimwengu; (4) tuwe “bila dosari,” kwa kufanya mambo yote kwa nia nzuri; na (5) tuwe “katika amani”—amani pamoja na Mungu, pamoja na ndugu zetu Wakristo, na pamoja na wanadamu wenzetu.
-