-
Kufungua Kufuli ya Siri TakatifuUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
na yeye aliye hai.’” (Ufunuo 1:17b, 18a, NW)
-
-
Kufungua Kufuli ya Siri TakatifuUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
3. (a) Ni katika njia gani Yesu alikuwa “wa Kwanza na wa Mwisho”? (b) Ni jambo gani linalomaanishwa na Yesu kuwa na “funguo za kifo na za Hadesi”?
3 Yesu alikuwa kweli kweli ndiye binadamu “wa Kwanza” kufufuliwa kwenye uhai wa roho usioweza kufa. (Wakolosai 1:18) Na zaidi, yeye ndiye “wa Mwisho” kufufuliwa hivyo na Yehova binafsi. Hivyo, yeye anakuwa ‘aliye hai, ambaye anaishi milele na milele.’ Yeye anajifurahisha kutokufa. Katika jambo hili, yeye ni kama Baba yake asiyeweza kufa, ambaye anaitwa “Mungu aliye hai.” (Ufunuo 7:2; Zaburi 42:2) Kwa wengine wote wa ubinadamu, Yesu mwenyewe ndiye ‘ufufuo na uhai.’ (Yohana 11:25, NW) Kupatana na hili, yeye anasema kwa Yohana hivi: “Mimi nilipata kuwa mfu, lakini, tazama! mimi ninaishi milele na milele, na mimi nina funguo za kifo na za Hadesi.” (Ufunuo 1:18b, NW) Yehova amempa yeye mamlaka ya kufufua wafu. Hiyo ndiyo sababu Yesu anaweza kusema kwamba yeye ana funguo za kufungua kufuli za malango kwa ajili ya wale ambao wamefungwa na kifo na Hadesi (jumla ya makaburi).—Linga Mathayo 16:18.
-