Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanavita-Mfalme Asherehekea Ushindi Kwenye Har–Magedoni
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • “Na mimi nikaona hayawani-mwitu na wafalme wa dunia na majeshi yao wamekusanyika pamoja kufanya vita na mmoja aketiye juu ya farasi na majeshi yake.

  • Mwanavita-Mfalme Asherehekea Ushindi Kwenye Har–Magedoni
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • Ufunuo 19:19

  • Mwanavita-Mfalme Asherehekea Ushindi Kwenye Har–Magedoni
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • 23. (a) Ni katika maana gani “vita ya siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi” inapiganwa kwenye “Har–Magedoni”? (b) Ni onyo gani ambalo “wafalme wa dunia” wameshindwa kutii, kukiwa na tokeo gani?

      23 Baada ya kumiminwa kwa bakuli la sita la hasira-kisasi ya Yehova, Yohana aliripoti kwamba “wafalme wa ulimwengu wote” walikusanywa na propaganda ya roho waovu kwenye “vita ya siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi.” Hiyo inapiganwa kwenye Har–Magedoni—si mahali halisi, bali ni ile hali ya tufe lote ambayo hutaka hukumu ya Yehova itekelezwe. (Ufunuo 16:12, 14, 16, UV) Sasa Yohana aona mipororo ya pigano. Hapo, waliojipanga dhidi ya Mungu, ni “wafalme [wote] wa dunia na majeshi yao.” Kwa ukaidi wao wamekataa kujitiisha wenyewe kwa Mfalme wa Yehova. Yeye aliwapa onyo lenye haki katika huu ujumbe wake uliovuviwa: “Mbusuni Mwana, kwamba [Yehova] asipate kutiwa ukali na nyinyi msipate kupotea kutoka njia.” Wakiwa hawakutii utawala wa Kristo ni lazima wafe.—Zaburi 2:12, NW.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki