-
Ukuhani wa Kifalme Utawanufaisha Wanadamu WoteMnara wa Mlinzi—2012 | Januari 15
-
-
Kitabu cha Ufunuo sura ya 21 kinawataja watiwa-mafuta hao kuwa jiji la mbinguni, Yerusalemu Jipya, linaloitwa “mke wa Mwana-Kondoo.” (Ufu. 21:9) Mstari 2 hadi wa 4 unasema hivi:
-
-
Ukuhani wa Kifalme Utawanufaisha Wanadamu WoteMnara wa Mlinzi—2012 | Januari 15
-
-
Naye atafuta kila chozi kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena, wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena. Mambo ya zamani yamepitilia mbali.’” Hizo ni baraka za ajabu kama nini! Kuondolewa kwa kifo kutakomesha kisababishi kikuu cha machozi, maombolezo, kilio, na maumivu. Hilo litamaanisha kwamba wanadamu waaminifu watafanywa kuwa wakamilifu na watapatanishwa kwa ukamili na Mungu.
-