-
Jiji Lenye Uzuri wa Kung’aaUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Ukuta wa jiji ulikuwa pia na mawe ya msingi kumi na mawili, na juu yayo majina kumi na mawili ya mitume wa Mwana-Kondoo.” (Ufunuo 21:11b-14, NW)
-
-
Jiji Lenye Uzuri wa Kung’aaUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Kupatana na hili, juu ya mawe ya msingi 12 yako majina ya wale mitume 12 wa Mwana-Kondoo. Ndiyo, Yerusalemu Jipya si taifa la kimnofu lenye kuasisiwa juu ya wana 12 wa Yakobo. Ni Israeli wa kiroho, lenye kuasisiwa juu ya “mitume na manabii.”—Waefeso 2:20, NW.
-