Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo na Wewe
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • Nje kuna mbwa na wale ambao huzoea uwasiliano na roho na waasherati na wauaji kimakusudi na waabudu sanamu na yeyote ambaye anapenda na kuendeleza uwongo.”—Ufunuo 22:12-15, NW.

  • Ufunuo na Wewe
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • Viongozi wa kidini wa Jumuiya ya Wakristo wametenda kama “mbwa wasio na usemi,” wakiachilia maovu ambayo Yehova anaeleza hapa. (Isaya 56:10-12; ona pia Kumbukumbu 23:18, New World Translation Reference Bible, kielezi cha chini.) Kwa hakika, wao ‘wamependa na kuendeleza’ mafundisho na itikadi za uwongo na wamepuuza kabisa shauri la Yesu kwa makundi saba. Kwa sababu hiyo, wao hawana hisa katika Yerusalemu Jipya.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki