Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kuponda Kichwa cha Nyoka
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • “Na mimi nikaona malaika mmoja akija chini kutoka katika mbingu mwenye ufunguo wa abiso na mnyororo mkubwa katika mkono wake.

  • Kuponda Kichwa cha Nyoka
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • Ufunuo 20:1

  • Kuponda Kichwa cha Nyoka
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • 4. Ni nani aliye malaika mwenye ufunguo wa abiso, na sisi twajuaje?

      4 Malaika huyu ni nani? Ni lazima yeye awe na nguvu nyingi mno kuweza kumwondolea mbali adui mkuu wa Yehova. Yeye ana “ufunguo wa abiso na mnyororo mkubwa.” Je! hiyo haitukumbushi njozi ya mapema zaidi? Ee, ndiyo, yule mfalme juu ya nzige anaitwa “malaika wa abiso”! (Ufunuo 9:11, NW) Kwa hiyo hapa sisi tunaona Mteteaji Mkuu wa Yehova, Yesu Kristo aliyetukuzwa, akitenda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki