Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Je, Wajua?
    Mnara wa Mlinzi—2011 | Mei 1
    • Kwa mfano, wataalamu wa vitu vya kale wamepata alama zinazoaminika kuwa zilitokana na mihuri ya kibinafsi ya wafalme wawili wa Yudea. Mhuri mmoja uliotumiwa ulikuwa na maneno haya: “Ni mali ya Ahazi [mwana wa] Yehotam [Yothamu], Mfalme wa Yuda.” Na mwingine ulisema hivi: “Ni mali ya Hezekia [mwana wa] Ahazi, Mfalme wa Yuda.” (2 Wafalme 16:1, 20) Ahazi na Hezekia walitawala katika karne ya nane K.W.K.

  • Je, Wajua?
    Mnara wa Mlinzi—2011 | Mei 1
    • [Picha katika ukurasa wa 15]

      Mihuri ya udongo yenye jina la Hezekia na Ahazi (mbele) na yaelekea jina la Baruku (nyuma)

      [Hisani]

      Back: Courtesy of Israel Museum, Jerusalem

      Front: www.BibleLandPictures.com/​Alamy

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki