-
Albania2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Ilionekana wazi kwamba kutaniko lilikuwa limebaki nyuma sana. Kwa mfano, Kulla Gjidhari na Stavri Ceqi walipokiona kijitabu cha Kuyachunguza Maandiko Kila Siku, walifungua-fungua kurasa zake, wasijue ni nini.
-
-
Albania2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
“Samahani,” akauliza Kulla, “Ndugu Knorr anaendeleaje? Rafiki yake Fred Franz yu mzima?” Maswali hayo yalionyesha wazi jinsi walivyokuwa wamebaki nyuma.
-