Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Neno la Yehova Laenea Katika “Nchi ya Tai”
    Mnara wa Mlinzi—2005 | Oktoba 15
    • Mwanzo Mpya Unaochochea

      Katika miaka ya 1920, wahamiaji wachache wa Kialbania walioenda Marekani na ambao walishirikiana na Wanafunzi wa Biblia wa Kimataifa, kama walivyoitwa Mashahidi wa Yehova, walirudi Albania kuwaeleza wengine yale waliyojifunza. Nasho Idrizi alikuwa miongoni mwao. Baadhi ya watu waliitikia vizuri.

  • Neno la Yehova Laenea Katika “Nchi ya Tai”
    Mnara wa Mlinzi—2005 | Oktoba 15
    • Siku moja, katikati ya mji wa Vlorë, Nasho Idrizi alichezesha santuri ya hotuba za J. F. Rutherford. Watu waliacha biashara zao wakaja kusikiliza, huku Ndugu Idrizi akitafsiri katika Kialbania.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki