-
Albania2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Majuma kadhaa baadaye, ofisi ya tawi ya Ugiriki, iliyokuwa ikisimamia kazi nchini Albania, ikamtuma Robert Kern azuru Tiranë. Robert aliwatangazia akina ndugu wenyeji kuhusu kusajiliwa kwao na kuundwa kwa Kutaniko la Tiranë. Pia, aliwajulisha kwamba mipaka ya eneo la kutaniko hilo ni “nchi nzima ya Albania.”
-
-
Albania2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
[Picha katika ukurasa wa 175]
Mkutano wa kutaniko katika Jumba la Ufalme la kwanza, 1992, Tiranë
-