-
Neno la Yehova Laenea Katika “Nchi ya Tai”Mnara wa Mlinzi—2005 | Oktoba 15
-
-
Baada ya kipindi cha kwanza cha kujifunza lugha, mapainia walianza kuhubiri huko Berat, Durres, Gjirokastër, Shkodër, Tiranë, na Vlorë. Punde si punde, makutaniko yalianzishwa katika majiji hayo.
-
-
Neno la Yehova Laenea Katika “Nchi ya Tai”Mnara wa Mlinzi—2005 | Oktoba 15
-
-
Kutaniko lilianzishwa tena huko Vlorë mnamo 1995. Leo, makutaniko matatu yenye kusitawi yanahubiri kwa bidii katika mji huo wenye bandari.
-
-
Neno la Yehova Laenea Katika “Nchi ya Tai”Mnara wa Mlinzi—2005 | Oktoba 15
-
-
Zaidi ya vikundi na makutaniko 90 yanaendelea “kufanywa imara katika imani na kuongezeka hesabu siku baada ya siku” nchini kote. (Matendo 16:5)
-