-
Yehova Hakutuacha KamweMnara wa Mlinzi—1996 | Januari 1
-
-
Kwa kuongezea, wenye mamlaka walieneza uvumi kwamba Spiro Vruho, aliyekuwa mzee Mkristo mwenye kustahiwa sana katika Albania, alikuwa amejiua. “Mwaona,” wao wakasema, “hata Vruho amekata tamaa.” Baadaye ikawa wazi kwamba Ndugu Vruho alikuwa kwa kweli ameuawa kimakusudi.
-
-
Yehova Hakutuacha KamweMnara wa Mlinzi—1996 | Januari 1
-
-
Wakati wa miongo ya kupigwa marufuku kwa utendaji wetu, Mashahidi wengi walitendewa kikatili, na wengine wakauawa. Mtu mmoja aliwaambia Mashahidi wengine barabarani hivi: “Wakati wa Wakomunisti, sisi sote tulikuwa tumemwacha Mungu. Ni Mashahidi wa Yehova pekee walioendelea kuwa waaminifu kwake yajapokuwa majaribu na magumu.”
-