Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Neno la Yehova Laenea Katika “Nchi ya Tai”
    Mnara wa Mlinzi—2005 | Oktoba 15
    • Hatua kwa hatua, serikali ikawa isiyovumilia dini. Kwa sababu ya msimamo wao wa Kikristo wa kutokuwamo, Mashahidi wa Yehova huko Albania walikataa kuchukua silaha na kujihusisha katika siasa. (Isaya 2:2-4; Yohana 15:17-19) Wengi walifungwa, bila chakula au mahitaji ya msingi ya maisha. Katika visa vingi, dada zao wa kiroho ambao hawakufungwa waliwafulia nguo na kuwapikia chakula.

  • Neno la Yehova Laenea Katika “Nchi ya Tai”
    Mnara wa Mlinzi—2005 | Oktoba 15
    • Hata hivyo, punde tu, Luçi Xheka, Mihal Sveci, Leonidha Pope, na ndugu wengine wenye madaraka walipelekwa kwenye kambi za kazi za kulazimishwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki