-
Albania2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Ijapokuwa idadi kamili haikupatikana, “kulikuwa na hudhurio kubwa” kwenye Ukumbusho, kikaripoti Kitabu cha Mwaka cha 1958, na kuongezea, “ndugu wa Albania bado wanahubiri.”
-
-
Albania2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Ingawa wachache waliogopa kwamba watapoteza kazi zao na hivyo wakalegeza msimamo wao, bado kulikuwa na ndugu washikamanifu walioadhimisha Ukumbusho mwaka wa 1959, na ndugu na dada wengi waliendelea kuhubiri bila woga.
-