Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mtazamo Unaofaa Kuhusu Pombe
    Mnara wa Mlinzi—2010 | Januari 1
    • Allen, anayetajwa katika makala zinazotangulia, alikuwa akikana kwamba anakunywa pombe kupita kiasi. Anasema hivi: “Nilificha zoea langu la kunywa, nilitoa udhuru, na kusisitiza kwamba sikuwa nikinywa pombe nyingi. Nilikuwa na lengo moja tu—kuendelea kunywa.” Ijapokuwa wengine waliona kwamba pombe ilianza kutawala Tony na Allen, wote wawili waliendelea kujisadikishia kwamba mambo ni shwari.

  • Mtazamo Unaofaa Kuhusu Pombe
    Mnara wa Mlinzi—2010 | Januari 1
    • Allen alipata nguvu ya kuacha ulevi kwa kujifunza Biblia pamoja na Mashahidi wa Yehova. Anasema hivi: “Nina hakika kwamba mimi niko hai leo kwa sababu Biblia na kanuni za Biblia zilinisaidia kuacha ulevi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki