-
Wayahudi Waathiriwa Na Utawala Wa Wagiriki Na Waroma‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
UPANUZI wa Milki ya Ugiriki ulianzia milima ya Makedonia. Akiwa huko, Aleksanda mwenye umri wa miaka 20 hivi alianza kufikiria jinsi atakavyoteka maeneo yaliyokuwa upande wa mashariki. Katika mwaka wa 334 K.W.K., aliongoza jeshi lake kuvuka eneo la Hellespont (Dardanelles), linalotenganisha Ulaya na Asia. Likiwa kama “chui” mwenye mbio, jeshi la Ugiriki chini ya Aleksanda lilianza kuteka maeneo mengi haraka. (Da 7:6) Aleksanda aliwashinda Waajemi karibu na jiji la Troyi, kwenye nchi tambarare za Mto Granicus, kisha akawashinda kabisa huko Iso.
Wagiriki walishambulia Siria na Foinike, na kuliharibu jiji la Tiro baada ya kulizingira kwa miezi saba. (Eze 26:4, 12) Aleksanda aliteka Gaza lakini hakushambulia Yerusalemu. (Zek 9:5) Alipofika Misri, alijenga jiji la Aleksandria ambalo hatimaye lilikuwa kituo cha biashara na elimu. Baada ya kuvuka tena Nchi ya Ahadi, aliwashinda kabisa Waajemi tena huko Gaugamela, karibu na magofu ya jiji la Ninawi.
Aleksanda alielekea upande wa kusini na kuteka Babiloni, Shushani (Susa), na Persepoli—vituo vya kuendesha shughuli za serikali ya Uajemi. Kisha aliteka haraka maeneo ya Uajemi, na kufika Mto Indus, eneo ambalo ni Pakistan ya sasa. Kwa muda wa miaka minane tu, Aleksanda aliteka maeneo mengi yaliyojulikana wakati huo. Lakini katika mwaka wa 323 K.W.K., akiwa na umri wa miaka 32, Aleksanda aliugua malaria na kufa huko Babiloni.—Da 8:8.
-
-
Wayahudi Waathiriwa Na Utawala Wa Wagiriki Na Waroma‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
Njia ya Aleksanda
A2 ▪ MAKEDONIA
A2 ▪ Pella
A2 ▫ THRACE
B2 ▫ Troy
B2 ▫ Sardi
B2 ▫ Efeso
B2 ▫ Gordium
C2 ▫ Ankara
C3 • Tarso
C3 • Iso
C3 • Antiokia (ya Siria)
C3 ○ Tiro
C4 ○ Gaza
B4 ○ MISRI
B4 ○ Memfisi
B4 ○ Aleksandria
A4 ○ Chemchemi cha Siwa
B4 ○ Memfisi
C4 ○ Gaza
C3 ○ Tiro
C3 ○ Damasko
C3 • Aleppo
D3 • Nisibis
D3 • Gaugamela
D3 • Babiloni
E3 • Shushani
E4 • UAJEMI
E4 • Persepoli
E4 • Pasargadae
E3 • UMEDI
E3 • Ekibatana
E3 • Rhagae
E3 • Hekatompylo
F3 • PARITHIA
G3 • ARIA
G3 • Aleksandria Areioni
G3 • Aleksandria Prophthasia
F4 • DRANGIANA
G4 • ARIACHOSIA
G4 • Aleksandria Ariachosiorum
H3 • Kabul
G3 • Drapsaca
H3 • Aleksandria Oxiana
G3 • Drapsaca
G3 • BACTRIA
G3 • Bactra
G2 • Derbent
G2 • SOGDIANA
G2 • Maracanda
G2 • Bukhara
G2 • Marakanda
H2 • Aleksandria Eschate
G2 • Marakanda
G2 • Derbent
G3 • Baktra
G3 • BAKTRIA
G3 • Drapsaka
H3 • Kabul
H3 • Taxila
H5 • INDIA
H4 • Aleksandria
G4 • GEDROSIA
F4 • Pura
E4 • UAJEMI
F4 • Aleksandria
F4 • CARIMANIA
E4 • Pasargadae
E4 • Persepoli
E3 • Shushani
D3 • Babiloni
-