-
Samoa2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Kufikia mwisho wa mwaka huo, wamishonari hao walikuwa wakiongoza mafunzo ya Biblia 60 hivi yaliyokuwa yakihudhuriwa na watu zaidi ya 200.
-
-
Samoa2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
BIDII KATIKA KAZI YA KUHUBIRI YAGUSA MIOYO
Miezi miwili baada ya ziara ya Len Helberg, kutaniko la kwanza la Mashahidi wa Yehova nchini Samoa ya Marekani lilianzishwa katika kijiji cha Fagatogo. Katika kipindi cha mwaka mmoja tu idadi ya wahubiri iliongezeka kutoka 14 mpaka 22.
-