-
Samoa2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Miaka miwili baadaye, mwaka wa 1940, Harold Gill, aliyekuwa painia katika sehemu mbalimbali za Asia na Pasifiki, alifika Samoa ya Marekani. Alikuwa na nakala 3,500 za kijitabu Where Are the Dead? (Wafu Wako Wapi?), ambacho ndicho kitabu cha kwanza kabisa cha Mashahidi wa Yehova kuchapishwa katika lugha ya Kisamoa.c
-
-
Samoa2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
c Wajukuu kadhaa wa Bw. Taliutafa Young, aliyempa Harold mahali pa kukaa, baadaye walikuja kuwa Mashahidi wa Yehova. Mjukuu wake mmoja, Arthur Young, sasa anashirikiana na Kutaniko la Tafuna, Samoa ya Marekani, ambako anatumikia akiwa mzee wa kutaniko na painia. Mojawapo ya vitu ambavyo Arthur anathamini sana ni Biblia ambayo Harold Gill aliipa familia yao.
-