-
Israeli Na Mataifa Yaliyolizunguka‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
Waisraeli walipokuwa wakitoka Misri, yaelekea kabila la Waamori ndilo lililokuwa lenye nguvu zaidi.a (Kum 1:19-21; Yos 24:15) Waamori walikuwa wameteka nchi ya Moabu kuanzia kusini hadi kwenye bonde la mto la Arnoni, ingawa eneo lililokuwa ng’ambo ya Mto Yordani kuanzia Yeriko bado liliitwa “nchi tambarare za jangwa la Moabu.” Wafalme Waamori walitawala pia Bashani na Gileadi.—Hes 21:21-23, 33-35; 22:1; 33:46-51.
-
-
Israeli Na Mataifa Yaliyolizunguka‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
a Jina “Waamori” sawa na jina “Wakanaani” linaweza kurejelea watu wa eneo fulani kwa ujumla au kurejelea kabila fulani hususa.—Mwa 15:16; 48:22.
-