-
Je, Mungu Yuko Kila Mahali?Amkeni!—2011 | Aprili
-
-
Pia, Mungu anaongoza kikundi kikubwa sana cha viumbe wa roho wanaoitwa malaika. Biblia inaonyesha kwamba kunaweza kuwa na mamia ya mamilioni ya malaika hao—labda hata mabilioni au zaidi.a (Danieli 7:10)
-
-
Je, Mungu Yuko Kila Mahali?Amkeni!—2011 | Aprili
-
-
a Ufunuo 5:11 inaonyesha “makumi ya maelfu ya makumi ya maelfu” ya malaika wakiwa wamezunguka kiti cha ufalme cha Mungu. Kumi elfu kuzidisha kumi elfu (10,000 x 10,000) ni milioni 100. Lakini andiko hilo linatumia maneno “makumi ya maelfu ya makumi ya maelfu,” hivyo kuonyesha kwamba huenda kuna mabilioni mengi ya viumbe wa roho.
-