-
Mahali Ambapo Mabara Sita HuunganaAmkeni!—2005 | Februari 22
-
-
Tunavutiwa pia na pofu, ambaye ni paa kutoka kusini-mashariki mwa Afrika. Kwa kuwa uwindaji hauruhusiwi katika hifadhi hiyo, pofu wameishi kwa amani tangu walipopelekwa huko mwaka wa 1892. Hata wanapotazamwa na wageni, wao huendelea kula bila wasiwasi. Pofu wengine hufugwa na kukamuliwa kama ng’ombe wa maziwa. Maziwa yao yenye lishe huwa na mafuta mengi, na hutumiwa kutibu magonjwa mbalimbali kama vile vidonda vya tumbo.
-
-
Mahali Ambapo Mabara Sita HuunganaAmkeni!—2005 | Februari 22
-
-
[Picha katika ukurasa wa 15]
Pofu
-