Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mahali Ambapo Mabara Sita Huungana
    Amkeni!—2005 | Februari 22
    • Tunavutiwa pia na pofu, ambaye ni paa kutoka kusini-mashariki mwa Afrika. Kwa kuwa uwindaji hauruhusiwi katika hifadhi hiyo, pofu wameishi kwa amani tangu walipopelekwa huko mwaka wa 1892. Hata wanapotazamwa na wageni, wao huendelea kula bila wasiwasi. Pofu wengine hufugwa na kukamuliwa kama ng’ombe wa maziwa. Maziwa yao yenye lishe huwa na mafuta mengi, na hutumiwa kutibu magonjwa mbalimbali kama vile vidonda vya tumbo.

  • Mahali Ambapo Mabara Sita Huungana
    Amkeni!—2005 | Februari 22
    • [Picha katika ukurasa wa 15]

      Pofu

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki