Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kwa Nini Tumtambue Mpinga-Kristo?
    Mnara wa Mlinzi—2006 | Desemba 1
    • Mtume Yohana ndiye mwandikaji pekee wa Biblia ambaye anatumia neno “mpinga-Kristo.” Katika barua mbili zinazoitwa kwa jina lake, neno hilo linaonekana mara tano likiwa kwa umoja au kwa wingi. Mistari yenye neno hilo inaonyeshwa katika sanduku kwenye ukurasa unaofuata.

  • Mpinga-Kristo Anafunuliwa
    Mnara wa Mlinzi—2006 | Desemba 1
    • [Sanduku/Picha katika ukurasa wa 4]

      KILE AMBACHO BIBLIA INASEMA KUHUSU MPINGA-KRISTO

      “Watoto wachanga, ni saa ya mwisho [kwa wazi, mwisho wa siku za mitume], na, kama vile ambavyo mmesikia kwamba mpinga-Kristo anakuja, hata sasa kumekuwa na wapinga-Kristo wengi.” —1 Yohana 2:18.

      “Ni nani aliye mwongo kama si yule anayekana kwamba Yesu ndiye Kristo? Huyo ndiye mpinga-Kristo, yeye anayemkana Baba na Mwana.”—1 Yohana 2:22.

      “Kila neno lililoongozwa na roho ambalo halimkiri Yesu halitokani na Mungu. Zaidi ya hayo, hili ndilo neno lililoongozwa na roho la yule mpinga-Kristo ambalo mmesikia kwamba linakuja, na sasa tayari limo ulimwenguni.” —1 Yohana 4:3.

      “Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea katika ulimwengu, watu ambao hawamkiri Yesu Kristo kuwa alikuja katika mwili. Hao ndio yule mdanganyifu na mpinga-Kristo.”—2 Yohana 7.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki