Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kupambana Sana kwa Ajili ya Habari Njema Huko Thesalonike
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Juni 1
    • Jiji la Thesalonike lilitimiza sehemu muhimu katika historia ya Wakristo wa karne ya kwanza, hasa kuhusiana na huduma ya Paulo, mtume Mkristo kwa mataifa.​—MATENDO 9:15; WAROMA 11:13.

  • Kupambana Sana kwa Ajili ya Habari Njema Huko Thesalonike
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Juni 1
    • Kwa kawaida Paulo alipofika katika jiji, alikuwa akianza kuzungumza na Wayahudi kwa sababu walifahamu Maandiko na hivyo angeweza kuyatumia katika mazungumzo yake na kuwasaidia kuelewa habari njema. Msomi fulani anadokeza kwamba huenda Paulo alifanya hivyo kwa kuwa aliwajali sana watu wa nchi yake au alitaka kuwatumia Wayahudi na watu waliomwogopa Mungu ili kuanza kazi yake ya kuwafikia Watu wa Mataifa.​—Matendo 17:2-4.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki