-
Matetemeko ya Dunia Katika Siku ya BwanaUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
“Ilikuwa katika K.K. 606, kwamba ufalme wa Mungu ulikwisha, taji liliondolewa, na dunia yote ikapewa Wasio Wayahudi. Miaka 2520 kutoka K.K. 606, itakwisha katika M.B. 1914.”f—The Three Worlds, kilichotangazwa 1877, ukurasa 83.
-
-
Matetemeko ya Dunia Katika Siku ya BwanaUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
f Kwa uongozi wa kimungu, hao Wanafunzi wa Biblia hawakuwa wameng’amua kwamba hakukuwa na mwaka sufuri katikati ya “K.K.” na “M.B.” Baadaye, wakati utafiti ulipofanya ihitajiwe kabisa kurekebisha K.K. 606 kuwa 607 K.W.K., ule mwaka sufuri uliondolewa pia, hivi kwamba ule utabiri ukawa sahihi kwenye “M.B. 1914.”—Ona “The Truth Shall Make You Free,” kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova mwaka wa 1943, ukurasa 239.
-