Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Shark Bay—Eneo la Ajabu la Baharini
    Amkeni!—2007 | Julai
    • Nyasi hizo za baharini huandaa chakula kwa ajili ya viumbe 10,000 hivi waitwao dugong, au ng’ombe wa baharini. Wanyama hao wapole na wenye udadisi mwingi ambao wanaweza kufikia uzito wa kilo 400, hula nyasi hizo, nyakati nyingine wakiwa katika makundi ya ng’ombe zaidi ya 100. Kwa sasa inaelekea kwamba huko Australia kaskazini ndiko ng’ombe hao wanapatikana kwa wingi zaidi ulimwenguni, kuanzia Shark Bay upande wa magharibi hadi Moreton Bay upande wa mashariki.b

  • Shark Bay—Eneo la Ajabu la Baharini
    Amkeni!—2007 | Julai
    • b Ingawa dugong wana uhusiano na nguva, wao ni wa jamii tofauti. Nguva wana mikia iliyojipinda nao dugong wana mikia iliyonyooka kama vile mikia ya pomboo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki