-
Belize2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Mnamo Machi 1983, kiwanja kilikodiwa kutoka kwa serikali ili kujenga Jumba la Kusanyiko huko Ladyville. Mwanzoni, akina ndugu walijenga kibanda cha muda kwa ajili ya makusanyiko na matukio mengine muhimu. Kisha, mwaka wa 1988, jengo fulani la chuma cha pua likanunuliwa nchini Guatemala na kuletwa kwenye kiwanja hicho cha Ladyville, ili litumiwe kama Jumba la Kusanyiko la kudumu.
-
-
Belize2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Siku iliyofuata kulikuwa na programu ya kuweka wakfu makao mapya na maridadi ya wamishonari, na pia Jumba la Kusanyiko lililofanyiwa ukarabati huko Ladyville. Wengi ambao walikuwa wamemtumikia Yehova kwa uaminifu kwa zaidi ya miaka 50 au 60 walikuwa miongoni mwa wale waliofurahia hotuba ya kuyaweka wakfu majengo hayo. Hotuba hiyo ilitolewa na Gerrit Lösch wa Baraza Linaloongoza.
-
-
Belize2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
[Picha katika ukurasa wa 252, 253]
Jengo la chuma cha pua lililo hapa chini sasa linatumiwa kama Jumba la Kusanyiko (kulia)
[Picha katika ukurasa wa 253]
Jumba la Kusanyiko lililofanyiwa ukarabati
-