Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kitabu Kinachotegemeka—Sehemu ya 2
    Amkeni!—2010 | Desemba
    • Maneno yanayofuata yanaonyesha jinsi mfalme Ashurnasirpal wa Pili wa Ashuru alivyojigamba kuwatendea wote waliompinga:

      Mchongo wa mawe wa Ashuru

      Mchongo wa mawe unaoonyesha wafungwa wakichunwa ngozi wakiwa hai

      “Nilijenga nguzo kwenye lango la jiji lake, na kuwachuna ngozi wakuu wote waliokuwa wameasi, na nikafunika mnara huo kwa ngozi; wengine niliwatundika juu ya mnara, wengine nikawatundika juu ya miti kwenye mnara, . . . na nilikata miguu na mikono ya maofisa, wale maofisa wa kifalme waliokuwa wameasi. . . . Nikachoma kwa moto mateka wengi miongoni mwao, nami nikachukua mateka wengi walio hai.” Wachimbuzi wa vitu vya kale walipochimbua majumba ya kifalme ya Ashuru, walipata kuta zilizorembeshwa kwa michoro ya mateka wakitendewa kinyama.

  • Kitabu Kinachotegemeka—Sehemu ya 2
    Amkeni!—2010 | Desemba
Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki