Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Imani Yao Ilishinda Jaribu Kali
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • 4. Fafanua roho ya kidini ya Babiloni.

      4 Kwa kweli, mambo ya kidini yalienea kotekote Babiloni. Jiji hilo lilikuwa na mahekalu zaidi ya 50, ambamo miungu mingi ya kiume na ya kike iliabudiwa, kutia ndani ule utatu wa Anu (mungu wa anga), Enlil (mungu wa dunia, hewa, na dhoruba), na Ea (mungu aliyetawala maji). Utatu mwingine ulikuwa wa Sin (mungu-mwezi), Shamash (mungu-jua), na Ishtar (mungu wa kike wa uwezo wa kuzaa). Mizungu, uchawi, na unajimu zilitumiwa sana katika ibada ya Babiloni.

  • Imani Yao Ilishinda Jaribu Kali
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • 1. Mnara wa hekalu (“ziggurat”) huko Babiloni

      2. Hekalu la Marduki

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki