-
Maandishi ya Kale ya Kikabari na BibliaMnara wa Mlinzi—2008 | Desemba 15
-
-
Kufikia miaka ya 1850, wasomi waliweza kusoma lugha ya mawasiliano iliyotumiwa zamani katika Mashariki ya Kati, Akadi, Ashuru na Babiloni ambayo iliandikwa kwa maandishi ya kikabari. Kitabu kimoja (Encyclopædia Britannica) kinaeleza hivi: “Mara tu Kiakadi kilipotafsiriwa, mtindo wa maandishi hayo ulieleweka, na njia ya kutafsiri lugha nyingine zilizoandikwa kwa maandishi ya kikabari iligunduliwa.”
-
-
Maandishi ya Kale ya Kikabari na BibliaMnara wa Mlinzi—2008 | Desemba 15
-
-
Majina Katika Rekodi za Ashuru na Babiloni
Waashuru, na baadaye Wababiloni, waliandika historia yao kwenye mabamba ya udongo, na pia kwenye mianzi, miche, na mawe ya ukumbusho. Kwa hiyo, wasomi walipotafsiri maandishi ya kikabari ya Kiakadi, waligundua kwamba maandishi hayo yana majina ya watu wanaotajwa katika Biblia.
-