Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Jinsi ya Kutumia Kitabu “Upendo wa Mungu” Kuongoza Mafunzo ya Biblia
    Huduma ya Ufalme—2009 | Machi
    • 2. Kitabu hiki kitatumiwaje, na ni nani wanaopaswa kujifunza kitabu hiki?

      2 Kitabu hiki ni kitabu cha pili ambacho tutajifunza pamoja na wanafunzi wa Biblia waliomaliza kujifunza kitabu Biblia Inafundisha.

  • Jinsi ya Kutumia Kitabu “Upendo wa Mungu” Kuongoza Mafunzo ya Biblia
    Huduma ya Ufalme—2009 | Machi
    • 3. Tunapaswa kufanya nini ikiwa sasa tunaongoza funzo katika kitabu Mwabudu Mungu?

      3 Ikiwa kwa sasa unaongoza funzo katika kitabu Mwabudu Mungu na umefikia sura za mwisho, unaweza kumaliza kujifunza kitabu hicho na kumtia moyo mwanafunzi asome kitabu “Upendo wa Mungu” peke yake. La sivyo, itakuwa vema kuanza kujifunza kitabu kipya kuanzia mwanzo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki