-
Jinsi ya Kutumia Kitabu “Upendo wa Mungu” Kuongoza Mafunzo ya BibliaHuduma ya Ufalme—2009 | Machi
-
-
2. Kitabu hiki kitatumiwaje, na ni nani wanaopaswa kujifunza kitabu hiki?
2 Kitabu hiki ni kitabu cha pili ambacho tutajifunza pamoja na wanafunzi wa Biblia waliomaliza kujifunza kitabu Biblia Inafundisha.
-
-
Jinsi ya Kutumia Kitabu “Upendo wa Mungu” Kuongoza Mafunzo ya BibliaHuduma ya Ufalme—2009 | Machi
-
-
3. Tunapaswa kufanya nini ikiwa sasa tunaongoza funzo katika kitabu Mwabudu Mungu?
3 Ikiwa kwa sasa unaongoza funzo katika kitabu Mwabudu Mungu na umefikia sura za mwisho, unaweza kumaliza kujifunza kitabu hicho na kumtia moyo mwanafunzi asome kitabu “Upendo wa Mungu” peke yake. La sivyo, itakuwa vema kuanza kujifunza kitabu kipya kuanzia mwanzo.
-