Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Magumu ya Kujua Maana ya Jina la Mungu
    Mnara wa Mlinzi—2010 | Julai 1
    • tafsiri za Kiswahili za Union Version na Zaire Swahili Bible, hutumia jina la Mungu mara kadhaa.

  • Magumu ya Kujua Maana ya Jina la Mungu
    Mnara wa Mlinzi—2010 | Julai 1
    • Steven Voth, mshauri wa utafsiri wa Shirika la Vyama vya Biblia (UBS) aliandika hivi: “Mojawapo ya mjadala unaoendelea katika makanisa ya Kiprotestanti ya Amerika Kusini unahusu matumizi ya jina Jehová . . . Inashangaza kwamba makanisa mapya ya Kiprotestanti yanayokua haraka . . . yalisema kwamba yalitaka tafsiri ya Biblia ya Reina-Valera chapa ya mwaka wa 1960, lakini iwe bila jina Jehová. Badala yake, walitaka neno Señor [Bwana].” Voth alisema kwamba shirika la UBS lilikataa ombi hilo mara ya kwanza lakini baadaye likakubali na kuchapisha chapa ya Reina-Valera Bible “isiyokuwa na neno Jehová.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki